Dar es Salaam. Sio kila homa ni Malaria, nenda ukapime. Bila shaka maneno haya sio mageni kwa watanzania wengi kwani yamewahi kuwa wimbo wa kampeni ya kitaifa katika kuwahimiza watu wasiwe na tabia ya aidha kwenda kujinunulia dawa kwenye duka la dawa bila kwenda kwa daktari, na hivyo kutibu ugonjwa ambao pengine sio ambao wanaumwa na wanaopaswa kuutibu. Ukisikia kichwa [Soma Zaidi]
Dawa zinanunulika?
Dar es Salaam. Mariana Hinju (35), anakumbuka jinsi ambavyo alimuuguza mama yake mwaka mmoja uliopita. Hinju, ambaye ni mama wa watoto wanne, alimleta mama yake kutoka Bukoba ili apate huduma nzuri ya matibabu ya macho. “Mama alikuwa na mtoto wa jicho. Ilibidi afanyiwe upasuaji kwenye macho yote mawili. Kwahiyo nikamleta Dar es Salaam ili apate huduma nzuri,” alisema Hinju. [Soma Zaidi]