Dar es Salaam. Tanzania ni kati ya nchi yenye kiwango kikubwa cha uzazi, ambapo tunashikilia nafasi ya 16 kati ya nchi 225. Serikali imekuwa ikijitahidi kuongeza huduma za uzazi wa mpango kote nchini. Hata hivyo, jitihada hizo zimepata mkwamo kwani bajeti ya afya imepunguzwa kwa kiasi cha asilimia 20 katika mwaka wa fedha ujao 2018/19. Serikali ina malengo makubwa kuhusu [Soma Zaidi]
Je, dawa uliyonunua ni bandia?
Dar es Salaam. Upo uhusiano kati ya uuzwaji wa dawa feki na kuwepo kwa maduka ya dawa ambayo ni bandia. Kama duka halijasajiliwa, nani anafwatilia kujua kama dawa inayouzwa hapo dukani imesajiliwa? Ukubwa wa tatizo barani Afrika Kwa sasa, takribani asilimia 10-15 ya dawa zinazosambazwa duniani kote ni dawa bandia. Usambazaji wa dawa hizi ni mkubwa zaidi barani Afrika, [Soma Zaidi]
Je, wanawake wa Tanzania wanajifungulia wapi?
Dar es Salaam. Kumekuwa na jitihada nyingi za serikali na wadau mbalimbali kuboresha miundombinu ya afya na kuwahamasisha akina mama kujifungua katika vituo vya matibabu ili kupunguza vifo vya akina mama na watoto vitokanavyo na uzazi. Hili ni moja ya malengo 17 ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufikiwa mnamo mwaka 2030, yaani kupunguza vifo [Soma Zaidi]
Usiombe kuwa mgonjwa katia mikoa hii mitano Tanzania
Dar es Salaam. Changamoto za kupata huduma za matibabu zipo kila mahali nchini Tanzania. Kwa kutumia nyenzo mbalimbali kama tafuta vituo vya afya , iliyotengenezwa na shirika la Code4Africa, wananchi unaweza kujua kama kuna kituo cha hudua za afya karibu yao. Hata hivyo, yapo maeneo ambayo yana matatizo kuliko mengine. Katika mikoa mitano ambayo ina uhaba wa vituo vya afya, [Soma Zaidi]