Dar es Salaam. Tanzania ni kati ya nchi yenye kiwango kikubwa cha uzazi, ambapo tunashikilia nafasi ya 16 kati ya nchi 225. Serikali imekuwa ikijitahidi kuongeza huduma za uzazi wa mpango kote nchini. Hata hivyo, jitihada hizo zimepata mkwamo kwani bajeti ya afya imepunguzwa kwa kiasi cha asilimia 20 katika mwaka wa fedha ujao 2018/19. [Soma Zaidi]
Usiombe kuwa mgonjwa katia mikoa hii mitano Tanzania
Dar es Salaam. Changamoto za kupata huduma za matibabu zipo kila mahali nchini Tanzania. Kwa kutumia nyenzo mbalimbali kama tafuta vituo vya afya , iliyotengenezwa na shirika la Code4Africa, wananchi unaweza kujua kama kuna kituo cha hudua za afya karibu yao. Hata hivyo, yapo maeneo ambayo yana matatizo kuliko mengine. Katika mikoa mitano ambayo ina uhaba wa vituo vya afya, [Soma Zaidi]